andate umeangalia mechi za Algeria lakini?? Wana spirit sana,wanajituma...Ujerumani jasho la meno litawatoka kuwatoa..
Kombe halitabiriki hili...
Ha ha ha haaah!!! Amekusoma.Invisible
Ikitokea Brazil akatoka kesho nipige BAN ya Miezi miwili, sitafungua ID mpya nitakuwa msomaji tu
Maneno yako usije ukayakana mkuu!Sanchez au Vidal kesho analeta balaa huko Brazucal!
Maneno yako usije ukayakana mkuu!Sanchez au Vidal kesho analeta balaa huko Brazucal!
Sio kirahic brodha maana hata fernandinho leo ndan ya nyumba...ninavyowajua wabrazil hawawez wakaandaa michuano kwao halafu leo watoke 16 bora...kimpira inawezekana but kwa sambaboyz sio rahis mkuu
Ratiba Kamili Ya 16 Bora:
Juni 28.
Brazil V Chile
(saa 1 usiku)
Colombia V Uruguay
(saa 5 usiku)
Juni 29.
Uholanzi V Mexico
(saa 1 usiku)
Costa Rica V Ugiriki
(saa 5 usiku)
Juni 30.
Ufaransa V Nigeria
(saa 1 usiku)
Ujerumani V Algeria
(saa 5 usiku)
Julai 1.
Argentina V Uswis
(saa 1 usiku)
Ubelgiji V Marekani
(saa 5 usiku)
Invisible
Ikitokea Brazil akatoka kesho nipige BAN ya Miezi miwili, sitafungua ID mpya nitakuwa msomaji tu
wachezaji wa kati wa ghana waliocheza mechi na germany wana uwezo mkubwa wa kupeleka mashambulizi mbele, sema forward ya ghana walikuwa wehu na mabeki ni uozo.
Algeria katikati sio wazuri hivyo halafu karibu timu nzima hawana speed kama germany, sanasana germany watakuwa wanawavuta halafu wanapiga counter attacks, wasipoangalia kama magoli yangekuwa ni maembe ingebidi waende na ndoo kuyabeba maana mikononi hayatatosha. Labda wajihami wasipande mbele, waswali washinde kwa penati, wakipanda mbele kushambulia ni kosa.
Wakupige ban ya wiki mkuu..miezi miwili mingi..nakusikitikia..
Algeria watampiga german kirahisi sana.. nimeshaweka mzigo
wachezaji wa kati wa ghana waliocheza mechi na germany wana uwezo mkubwa wa kupeleka mashambulizi mbele, sema forward ya ghana walikuwa wehu na mabeki ni uozo.
Algeria katikati sio wazuri hivyo halafu karibu timu nzima hawana speed kama germany, sanasana germany watakuwa wanawavuta halafu wanapiga counter attacks, wasipoangalia kama magoli yangekuwa ni maembe ingebidi waende na ndoo kuyabeba maana mikononi hayatatosha. Labda wajihami wasipande mbele, waswali washinde kwa penati, wakipanda mbele kushambulia ni kosa.
Ujerumani hii hii ambayo GHANA alifunga magoli mawili na kukosa ya wazi kadhaa likiwemo counter attack dk za mwisho?? Au unazungumzia ingine?
Nimeota eti Nigeria kamtoa Ufaransa...it was like 1-0 au 2-1 hivi ndoto haikuwa clear sana- ila Keshi alishangilia huyo balaa.
Gwa kokaja!!
Nigeria hawajafanya mazoezi kwa siku 2 ya leo maana hawajalipwa hata senti toka wawe kambini then waje Brazil!Chama chao cha sokam wanasema zile dola Milion 8 za FIFA zilifika lkn wamejengea ofisi mpya!
Uongozi wa soka Afrika wote wapo sawa akili zao!Sasa utamtoaje France na management kama hii?
Germany ni over rated tu mkuu!Algeria ina wachezaji wazuri individual kuliko mara 100 ya Ghana!Akina Foghouli wale wawili mmoja yupo Valancia mwingine Napoli na huko wanaxheza!Hasan Yabda na Bantaleb hamna asiyemjua Ulaya huku Haliche na wenzake wapo huko France!
Algeria ipo nondo sana,yanaweza jirudia kama ya mwaka 1974!
wana haki ya kugoma kabisa kwa hali hii,ndiyo maana wakiwa uwanjani hawajitumi kabisa,morali ya kucheza utapata wapi huku ukijua mafao hamna?? duniani kote kuna ufisadi lakini ufisadi wa waafrika si wa maendeleo hata kidogo na tumezidi kabisa.Gwa kokaja!!
Nigeria hawajafanya mazoezi kwa siku 2 ya leo maana hawajalipwa hata senti toka wawe kambini then waje Brazil!Chama chao cha sokam wanasema zile dola Milion 8 za FIFA zilifika lkn wamejengea ofisi mpya!
Uongozi wa soka Afrika wote wapo sawa akili zao!Sasa utamtoaje France na management kama hii?
wana haki ya kugoma kabisa kwa hali hii,ndiyo maana wakiwa uwanjani hawajitumi kabisa,morali ya kucheza utapata wapi huku ukijua mafao hamna?? duniani kote kuna ufisadi lakini ufisadi wa waafrika si wa maendeleo hata kidogo na tumezidi kabisa.