GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
andate umeangalia mechi za Algeria lakini?? Wana spirit sana,wanajituma...Ujerumani jasho la meno litawatoka kuwatoa..
Kombe halitabiriki hili...
Halafu ukuta wa Urusi ulikuwa balaa siku ile, nyuma kulikuwa na watu sita ambao walikuwa wanawakaba watu wawili.