Haya sasa timu ndo zinaingia kwa pitch pale!
Enhee muda unatimu nawaona brazuu wametinga njano juu na nyeupe chini wakati huohuo Chile the unstoppable wako ndani ya uzi maridadi kabisa mwekundu juu na samawati chini, kwa kweli leo ni rrrraaha sana
umeme umetutoka.tanesco please please
Mkuu inaonekena kuwa una uhakika mkubwa sana kuwa chama lako halitakuangusha leo
Jamaa wanaimba wimbo wa taifa kwa hisia kali sana