World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Haki imetendeka.timu iliyocheza soka zaidi ndio imepita.Chile hawakuwa na jipya zaidi ya kupaki basi.ila ni lazima timu zenye kutandaza soka uwanjani zitafute namna ya kudeal na kupaki basi manake huu mchezo umekuwa ukiziumiza timu nyingi nzuri,mtu analinda goli muda wote halafu anakupiga kwenye matuta,hii sio fair!ningechukia kama Chile wangepita kwa soka ya kulinda goli 24/7.hongera Brazil,but..120 minutes of struggling to score?!napata mashaka!anyway,labda sababu ya treni la Chile!let's wait and see.

Juvu ujue nakuheshimu mno sasa ukitoa comment km hizi sijui nikuelewaje???nani alipaki basi....Chile wameweka tempo game yote na wameshika viuongo vyote...penalties ni matokeo tu
 
haya bana afadhali wameenda maaana maaandamano yaneaanza kesho
Ule utabiri wako umeota mbawa,vipi Colombia na Uruguayi,nani atakutana na Brasil robo fainali?haya twende kazi ya utabili
 
Leo nimekubali Webb ni refa mzuri. Natamani angekukwa refa wa mechi kati ya Ivory Coast na Greece
 
Juvu ujue nakuheshimu mno sasa ukitoa comment km hizi sijui nikuelewaje???nani alipaki basi....Chile wameweka tempo game yote na wameshika viuongo vyote...penalties ni matokeo tu
labda kuna game nyingine alikuwa anaangalia tofauti na tuliyokuwa tunaiona wengine
 
Skype pole sana aiseee
Mimi kiukweli nimefurahia sana maana hadi njaa imepotea yote
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa very calm wakati wote wa dakika 120, pressure ilianza kupanda baada penalties kuanza...Duh!!!! unahisi kama moyo unataka kuchomoka lol!!!! Penalty ya mwisho ya Chile karibu nizime TV hahahahahaha.....I am very glad that we're through to the next stage, but they have to play better than today in order to advance further.

Chile kwao haooo
 
Back
Top Bottom