Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
colombia 3 uruguay 0 FT
pole sana mkuu enjoy your day tusubirie mtanange unaofuata
Hizi dk 30 ni ngumu sana kucheza....fikiria pressure ile ya game dk 90 alafu dk za nyongeza upigwe dk ya 20...ujue wanapaki basi na game inakuwa imeisha.nI Bora kwenda penalties mjue moja
Mara ya Sita
Brazil hupumua wakiwa na na timu shindani toka mabara mengine, lakini hizi za bara la Amerika wanavyoijua na kuichambua Brazil inashindia bahatai tu. Kumbuka leo Brazil walianza na mfumo wa pasi ndefu ili kuchanganya kasi ya vijana wa Chile, lakini Wachile waliposoma mchoezo huo Brazil wakapoteana. Nguvu ya Brazil ikarudi walipobadilisha mchezo wa kutumia pasi fupifupi ndicho kiliwaletea uhai vinginevyo wangetolea kataka stage ya best 16.
Kumbuka katika makundi Brazil ilitolewa kamasi na Mexico kwa kugawana point, wasipokuwa makini watakuwa watazamaji katika nusu na fainali.
Ule utabiri wako umeota mbawa,vipi Colombia na Uruguayi,nani atakutana na Brasil robo fainali?haya twende kazi ya utabili
Mkuu kisimbusi chako kinawahi kweli teeh teehe teeh
Leo ulipotea sana sio kama jana.
Ila hongera #TeamBrazil .
Mimi nilikuwa nimejiwekea BOUNTY ya miezi 7 kama Chile watashinda nilikuwa na hali mbaya sana kwani watu walikuwa wananikumbushia BAN
Juvu ujue nakuheshimu mno sasa ukitoa comment km hizi sijui nikuelewaje???nani alipaki basi....Chile wameweka tempo game yote na wameshika viuongo vyote...penalties ni matokeo tu
Brazil ya leo si kama ile ya kikosi cha akina Kaka, Ronaldo na Ronaldino.
Ndaga, nalolii fyijo.
Mpira ungekuwa hivyo...Spain asingekalishwa na Chile, na Italia asingekalishwa na Costa Rica!!
Washukuru Neymar na Ceser,la sivyoooo ungepewa sabatical leave hivi hivi,mara ya pili usirudie
Mliotaka ban mshapigwa?! Ahadi ni deni invisible please do your thing.
Yaani wewe ningekuwa karibu na wewe sijui kama ningekuwa hai maana umenitia Presha sana
hii timu uloiandika ni kutoka bara gani?