teh teh teh, ukiwa na presha unashauriwa uachane kabisa na hizi makitu zinaitwa mpira wa miguu unaweza kata mawasiliano ya mwili na roho kabla ya siku yako. Hizi zinatufaa sisi tunaojua mpira una matokeo mawili hasa ktk kipindi hiki cha mtoano yaani kuna kupigwa na kupiga, hakuna cha droo ohooo.
Brazil pasingekalika kama timu yao ingetoka leo, hata FIFA wanalijua hilo
Wauza sembe#columbia
Hahahahahaha tumeumia ila nilikuwa najua ushindi lazima, Mungu hawezi kutuacha wala kutuvua nguo kwetu hasa kipindi hiki. Pole naona umejiokoa na ban
yaani me team brazil damu leo ingetoka na mpira nngeishia leo hadi 2018
Bahati yako uko upande wangu haya utanipa matokeo tukishinda mi siko runingani
kazi wanayo kesho mexico siyo mchezo
Vizuri sana leo Presha ilikuwa kubwa sana kwangu kwani huku BAN huku Brazil
Bahati yako uko upande wangu haya utanipa matokeo tukishinda mi siko runingani
Haha mkuu matimu ya uhakika ndo yanatoka so bora haya matimu yetu yanayopenya kwa kudra za kipa
pole mkuu ila ndo ivyo ushapita kwa leo, vipi kesho kati ya uholanzi na mexico utakua upande upi ili tutaftane tena?
Haiwezekani wawatoe UholanziMexico kesho wataweza endelea
Ha!ha! Kama Nakuona huku mikono imekumbatia kifuani.
kazi wanayo kesho mexico siyo mchezo
Netherlands washasema hali ya hewa itawasumbua