World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

England fans

"Let's be honest, this Colombia side would've destroyed England, even with our supposed amazing young players"
 
Uruguay wameshachanganyikiwa sasa, wanacheza rafu mbaya sana, utamu na aliye bench kajipatia yellow card yake kwa ukuda wake.
 
Kama kuna timu zitaisumbua Brasil kwenye hili kombe la mwaka huu basi ni timu za Amerika ya Kusini. Chile kamsumbua sana. Na South America wameingiza timu 5 kwenye super 16 kama sikosei. So Brasil has many huddles to overcome. I wish them well!!!!
 
Kipa wa Colombia mzuri aisee.anaokoa goli tena.Fred Guarin in,Cuadrado out!
 
Kama kuna timu zitaisumbua Brasil kwenye hili kombe la mwaka huu basi ni timu za Amerika ya Kusini. Chile kamsumbua sana. Na South America wameingiza timu 5 kwenye super 16 kama sikosei. So Brasil has many huddles to overcome. I wish them well!!!!
Mwisho wa Brazil ni robo fainal wanapokutana na hawa Colombia. Nawapa nafasi kubwa sana Colombia ya kushinda hiyo game
 
Colombia wameanza kunirusha roho.wamekaa nyuma kabisaa.huu mpira wa aina hii ni risk sana.saa zote watu wanagonga hodi.rusha roho tupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…