What a Goal..........
Colombia ndo wamefuzu ivo brazil huyo namuona to semifinal kiulaini!!
kumpata ni kupanda dau tu kuendana na kiwango chake
"Colombia and the star of the tournament... James Rodriguez will dine at the table of eight"...!
So maneno yangu... ni commentator huyo. I like listening to these guys.
Colombia ndani ya dk90 watakuwa wamefungashiwa virago hawa!
Thubutu!
Chile kawatoa kamasi ije Colombia...u r dreaming mkuu.
Mwe!bajeti za clubs za serie a ni mawazo matupu siku hizi mkuu.huyu Rodriguez mwenyewe wakati anatoka kwao ajenti wake alimleta Juve,akawaimbisha wee,Juve wakamkataa.leo hii hatuwezi hata kumtaja jina.life is how you make it.serie a ijiandae kunyang'anywa wachezaji kibao baada ya WC
Chile wako vizuri kuliko Colombia sema tu leo wamekutana na wadhaifu wanaotegemea player mmoja awabebe mie ijumaa baada ya dk 90 ntakukumbusha uje urudie kauli yako!!
hahaha haya mkuu ila mnashuka kituo kinachofuata na timu yenu
Na sijui utasemaje kama timu moja wapo ikifika robo fainaliUmeshapiga ramli kama Simba na Yanga? Kweli kazi unayo, na sijuwi utafanyaje kama hazifiki hiyo robo fainali.
ulikua team gani wewe