World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mexico hawana ule urembo wa kuingia hadi kwenye anga za golikipa sijui mnaita 18, wao hata katikati ya uwanja wakiona upenyo wanamtumia kipa salam za kumuaga
 
Wale wadau wenzangu wa mexico naomba kuwatambulisha kwenu uzi maridaaaaadi kabisa wa kijani dhidi ya uzi wa urujuani wa wapinzani mdororo

Mkuu leo Team Holland Wapigwe tu.
 
Timu maarufu ya taifa la Uholanzi leo itakutana na kizingiti Mexico.

Naamini ndio utakuwa mwisho wa safari yake.

Nimezi consider timu zote na kufikia kuiamini zaidi Mexico.

Haya tuangalie jinsi Uholanzi inavyoondoka !

Wanaondoka wanatokea wapi na kuelekea wapi mkuu???
 
Jamani mnayaona hayo makombora ya mexicoooo? Mtasanda sana leo andybird314 upo?
 
Katika michezo kumi katika kombe hili, Wadachi wameshinda mechi tisa na kupoteza moja, pale walipofungwa na Spain 2010...

Go #TeamWadachi
 
Mexico hawana ule urembo wa kuingia hadi kwenye anga za golikipa sijui mnaita 18, wao hata katikati ya uwanja wakiona upenyo wanamtumia kipa salam za kumuaga

Kama Costarica vile.
 
Back
Top Bottom