Kweli na sitoshangaa kumuona David Luiz anakula Red haaminiki.
Labda baada ya miaka 50 ijayo.Tanzania mbona hawapo?
Leo Yanga golini yuko nani? Maana hawa Simba siwaamini amini wanaweza kuharibu ligi mwanzoni mwanzoni. Mbuyu Twite kaanzia benchi?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums