AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
​Referee kafuta penalty ya wazi kabisa kwa Holland.
Wakuu kwa mnaocheki live hii mechi, Sasa ni dakika ngap zimebaki mpira uishe?
Ochooooaaa ...okooooa
Ochoa anaokoa kinoma... Come on Wenger tunahitaji kipa wa kumreplace Fabianski.
Mzee Sneijder si yupo kati na baadhi ya vijana wanaotakiwa Old Trafford? Kwangu naona linalowaumiza ni joto hawa Mexico wanavyokimbia ni kama vile ndo mpira umeanza.
Mzee Sneijder si yupo kati na baadhi ya vijana wanaotakiwa Old Trafford? Kwangu naona linalowaumiza ni joto hawa Mexico wanavyokimbia ni kama vile ndo mpira umeanza.
Wakuu kwa mnaocheki live hii mechi, Sasa ni dakika ngap zimebaki mpira uishe?