I am happy for them....
Hiyo ya pili siangalii mtanipa matokeo.
Hahaahahahha mkuu huta niona humu hadi juni 4
Joe Campbell for Liverpool!Aje Liverpool acheze mpira huko Arsenal hawezi pata hata pasi 10 msimu mzima za through ball akimbie apige!Hamna mido ya uhakika pale
Uko right mkuu..huu mchezo ukiupenda sana ni hatari sana hata kwa afya yako...
Hahaahahahha mkuu huta niona humu hadi juni 4
Wadutch wana bahati!, kweli mpira unadunda lakini bahati za hivi sijui kwanini wafrika huwa hatuzipatagi always ukidunda inakua on our expense.
Ref: mechi ya ivory cost vs. Greece.
wasijaze watu brazil bila sababu
Mhhhhh!!! Dada yako yupi huyo? Yule mutoto wa MUJINI toka Ilala?
CV ya LVG inajulikana angalia tactics alizotumia dhidi ya Spain na leo alivyomtoa RVP wengi walijua amechemsha