World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Costarica hawawezi stahimili dakika 30 bila kufungwa!!Wametoka tayari hawa
 
Costa Rica wanaonekana wamechoka kinoma, upungufu wa mchezaji mmoja unawaathiri sana.
 
Costa Rica hawawezi kuwa wanafukuza mipira kwa dakika 30 zote bila kutunguliwa.
 
Greece ndio itakuwa timu ya 1 kuingia quarter final ikiwa ni timu iliyoshika nafasi ya 2 katika kundi lake.
Zote mpaka sasa zilizo ingia zilikuwa za kwanza katika makundi yao.
 
mpira mara nyingine unashinda kama una bahati

Nikweli. Ila nilijua mpira wa leo kwa Costa Rica utakuwa mgumu sana kwakuwa Greece tabia yake ni kupaki basi kiaina na kushtikiza mashambulizi na ndio maana mpaka sasa C. Rica on target shot wanayo 1 tu na ndio goli lenyewe.
 
Nikweli. Ila nilijua mpira wa leo kwa Costa Rica utakuwa mgumu sana kwakuwa Greece tabia yake ni kupaki basi kiaina na kushtikiza mashambulizi na ndio maana mpaka sasa C. Rica on target shot wanayo 1 tu na ndio goli lenyewe.
kweli halafu mpira ukishafika kwenye hatua za mtoano unakuwa hautabiriki kabisa. ila costa rica wamejitahidi
 
LOL Costa Rica wanajaribu kupoteza kila dakika wanayoweza, wanasahau dakika zinaongezwagwa mwishoni nini?
 
Back
Top Bottom