Muda wa kutosahauliwa pindi ukosapo penati ya ushindi, kila mtu anamkumbuka Baggio kukosa penati ya mwisho, lakini hatukumbuki aliyefunga penati ya mwisho ya Brazil 1994
ugiriki wanashindaPredictions??????? Naona Wagiriki wanaonekana kama wana uhakika na kipa wao kuzuia penati, tusubiri tuone isije ikawa kama England vs Argentina 1998 all over again.