Mkuu na kuhakikishia USA hatuwezi kuwafunga kabisa..... Umeona mpira wao?USA lazima tutamliza Ureno na kufungwa kwa mbinde na Germany na Ghana. Subiri utaona.
Vipi za kwetu huku Africa haziwezi kurudi na makapu ya magoli.
daaa ina maana mna hali mbaya sa?mtaweza kuwafunga chile?Uscheke sema tu ule msemo wa biashara asubuhi jioni mahesabu ndio umetuharibia. Kupoteza hii mechi ni pigo kubwa kwetu
WC hii magoli yatafungwa mengi sana mpaka dikika hii yamefika 13 katika mechi 4 tu.
USA lazima tutamliza Ureno na kufungwa kwa mbinde na Germany na Ghana. Subiri utaona.
Acha wivu, Lupita bonge la Mwali. Hollywood wanadai ni kinyukwa kuliko wazungu wote.
Watu wamejipanga sana....
Mkuu sema wengi hawakujipanga vizuri au walienda kwa mazoea, kama Spain utasema alijipanga kweli.?
Australia wamebadilika kama nyuki hapa. WC hii mwaka huu tamu sana aisee
Australia wamebadilika kama nyuki hapa. WC hii mwaka huu tamu sana aisee