World Cup safari hii itakuwa ngumu sana kutabirika tofauti na wengi wanavyofikiria.
Hawapati jengine ndio hilo hilo wasubir kupigwa mabao tu
Unatania???? USA amfunge Portugal kwenye ice hockey? mkishindwa kutoa draw na Ghana, hamtatoka na point hata moja
Soka mchezo wa ajabu sana. Kuacha mechi ya Cameroon hizi nyingine aliyeanza kufunga mwisho wa siku ndio kalia.
Kufungwa kwa Spain ni kielelezo kingine kuwa SOKA la KUREMBA halina tena nafasi duniani
macho hayana ushirikiano mechi za popo izi
Inaonyesha huwakubali kabisa Spain na style yao ya mpira
Umesahau tulivyofanya 2002 na walikuwa na timu nzuri yenye mastar zaidi ya mmoja kuliko sasa hivi. Kina Figo hawakuchakaruka siku ile.CR7 atawekwa kimya siku hiyo kama vile hayupo.
macho hayana ushirikiano mechi za popo izi
mkuu humu inaonyesha wengi hawaitakii mema spain ila kufungwa kwa spain leo ndio kunamfanya spain mechi zote ziliobakia anahakikisha anashinda tena kwa magoli mengi spain anapita bila wasi toa shakaInaonyesha huwakubali kabisa Spain na style yao ya mpira
Mkuu Spain wamejaza sana wazee wenye mbinu zile zile toka 2008!Kila top seeds team sasa zonajua mbinu zao!
Ondoa Alonso;Casillas;Xavi;Iniesta;Pique;Villa na Davido Villa;Torres then leta akina Isco na akina Morrata waungane na Koke na Fabr
mkuu humu inaonyesha wengi hawaitakii mema spain ila kufungwa kwa spain leo ndio kunamfanya spain mechi zote ziliobakia anahakikisha anashinda tena kwa magoli mengi spain anapita bila wasi toa shaka
Mkuu una moyo mgumu sana, ila safi sana kujifariji mara moja moja
Historia ya hii kombe ilivyoanza juzi inaonyesha anayetangulia kufunga goli ndo anakuja kupigwa goli nyingi,brazil alifungwa akasawazisha na kushinda,Spain alitangulia Holland wakasawazisha wakashinda,Ila Cameroon walifungwa wao hakurespond,hebu tusubiri Chile maana wao wametangulia kufunga je Australia watasawazisha na kushinda?