World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Yaani hata mie kiroho safi,bravooo Nigeria!!!! No posho game litakuwaje tamu??? Wamejitahid jamani!!!
Upuuzi mwingine wa mijiviongozi ya kiafrica. So selfish, sijui tukoje tu? Sasa baada ya mgomo posho ilitoka wapi?
Sisi labda tuje 'tuumbwe upya na nchi igeuke'
 
Upuuzi mwingine wa mijiviongozi ya kiafrica. So selfish, sijui tukoje tu? Sasa baada ya mgomo posho ilitoka wapi?
Sisi labda tuje 'tuumbwe upya na nchi igeuke'

Dunian kote kuna ufisadi lkn ufisadi wetu si wa maendeleo, wenzetu wanaiba kujenga,sisi tunaiba kubomoa
 
upuuzi mwingine wa mijiviongozi ya kiafrica. So selfish, sijui tukoje tu? Sasa baada ya mgomo posho ilitoka wapi?
Sisi labda tuje 'tuumbwe upya na nchi igeuke'

natamani hawa viongozi waliokula mapene wangepotea ile ndege ya malaysia.
 
Reactions: bht
Leo ni leo aljeria lazima walipize kisasi cha 1982 ujerumani kupanga matokeo
 
Wale wadau wa updates mjiandae kutuhudhurisha kina sisi tusio runingani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…