World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Algeria mama yangu,tumieni hizi nafasi jamani!hawa bavarians wakija golini kwenu hawatawakosa hivi!
 
Algeria wanawapa gemu zuri wajerumani, ila sijui kama wataweza kucheza kwa speed hii dk 70 zijazo
 
Hawa Algeria ni waafrica wanaoishi ulaya karibia timu nzima wamezaliwa France hata mpira wao sio wakiafrika
Na wamesomea soccer kwenye academies za France,sipati picha wakifika robo fainali,halafu wamfunge France,Ufaransa itanuna maana vijana wamezaliwa na kusomea mpira France
 
waarabu naoana wamewasha moto....!!? lakini mwisho wa siku wasije wakawa kama nigeria..
 
yaani kama nilivyosema mechi iliopita...technically hawa wazungu tuko sawa au tumewazidi ila wanatushunda kujituma tu kama hapa huoni kabisa ALGERIA kuzidiwa!!
 
Na wamesomea soccer kwenye academies za France,sipati picha wakifika robo fainali,halafu wamfunge France,Ufaransa itanuna maana vijana wamezaliwa na kusomea mpira France

Watafutiwa residence zao wazungu wanahila sana
 
Algeria mama yangu,tumieni hizi nafasi jamani!hawa bavarians wakija golini kwenu hawatawakosa hivi!
Ngoja baadae Malasovic Klose aingie,ndo watajua sambasoti ni nini?sasa hivi wanapata nafasi za wazi wanazichezea
 
Tempo ya Algeria ni kubwa mno,inabidi wafunge mapema maana nahisi kuanzia dk ya 70 kumaintain hii tempo itakuwa ngumu kwao na bavarians are waiting for that moment
 
Wakuu mpo...?
Kama kawaida waafrika wameanza kwa nguvu...je watakomaa hadi mwisho???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…