s.crony
JF-Expert Member
- Jul 25, 2012
- 1,286
- 464
Na wamesomea soccer kwenye academies za France,sipati picha wakifika robo fainali,halafu wamfunge France,Ufaransa itanuna maana vijana wamezaliwa na kusomea mpira France
Wa-Africa hawa nusu waarabu,nusu france kwa kweli soka lao nalikubali....!