kipa wa aljeria ananipa raha
Kipa anajitahidi sana Algeria wawafunge hawa wajinga
Saizi hawa waarabu wetu hata wakitolewa wamepigana kiume...anything can happen and I hope it happens in our favor as Africans!
ila mkuu tukienda kwenye matuta ujerumani kwaheli
Kochi lina sehemu kubwa ya kukalia lakini nashangaa muda wote nimekaa kwenye kingo zake wakati niko peke yangu,dah!
kipa wa aljeria ananipa raha
Kochi lina sehemu kubwa ya kukalia lakini nashangaa muda wote nimekaa kwenye kingo zake wakati niko peke yangu,dah!