Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
hawa wanaume pamoja na mfungo bado wamefanya yale hutukujatarajia
Basi tena tujipange kwa 2018, maana hii extra time hatuna letu.
Sasa nguvu zangu zote kwenye timu yangu ya Brazil. Usiku mwema wapendwa.
Basi tena tujipange kwa 2018, maana hii extra time hatuna letu.
Sasa nguvu zangu zote kwenye timu yangu ya Brazil. Usiku mwema wapendwa.
asante Schurle kwa kuyafunga haya maarabu. leo lazima maarab yapande ndege ya kurudi nyumbani. tunashambulia kama nyuki.team Germany oyeeee!
naskia steven keshi kajiuzuru ni kweli waungwana?
Dah kwanini yale magoli ya mwisho yasiwe yanatokea kwa timu za Afrika?
Kwanini bahati ziwe kwa hizo timu zingine zisizo za Afrika
asante Schurle kwa kuyafunga haya maarabu. leo lazima maarab yapande ndege ya kurudi nyumbani. sisi Germany tunashambulia kama nyuki.team Germany oyeeee!