World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Dempsey vipi??? ngoja tusubirie tuone .... walipokutana mara ya mwisho kwenye friendly matokeo yalikuwa 4-2 (Belgium washindi)
 
Hawa USA naona wanataka kuwapa tabu Uefa! Wajieleze vipi timu zao za Europe Kama wanavyojieleza CAF! Na chama cha mpira cha Asia!
 
USA watashinda hii game unajuwa team nalo likishakuwa na mastaa wengi ni tatizo
Wamarekani wanacheza kitimu zaidi!
 
Hawa USA naona wanataka kuwapa tabu Uefa! Wajieleze vipi timu zao za Europe Kama wanavyojieleza CAF! Na chama cha mpira cha Asia!

FA ya Cameroon jana wamesema WANAHISI akina Eto'o walichukua rushwa kupoteza mechi zote 3!Badala ya kukubali kuwa wao as management walikuwa mzigo wanaleta visingizio vya ajabu kabisa
 
Beasley zamani alikuwa winger mwenye spidi kuliko Robben, siku hizi kawa beki 3 mzuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…