World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Upo wangu? Yaani mm leo niliko sijui kama ntawah,updates muhimu.


Nishafungwa wangu japokuwa naamini kabisa katika dk 90 France na Brazil wataibuka washindi.

kwasas Germany 1-France 0
 
Zile cheda walizotumia kumnunua Luke Shaw bora wangetoa kumnunua Hummels.
 
Huu mpira utaisha hivi hivi,moja bila.France nawapenda sana safari hii mmejitahidi sana kwa kweli,hao wajerumani walishazoea kufika robo fainali dawa yao huwa wanatolewa nusufainali
 
Piga hao wazamiaji


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Huu mpira utaisha hivi hivi,moja bila.France nawapenda sana safari hii mmejitahidi sana kwa kweli,hao wajerumani walishazoea kufika robo fainali dawa yao huwa wanatolewa nusufainali

Duh france wamejitahidi wakati ndo kwanza 20mins jamani??,msichoke mapema hvo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…