Kabisa England anashinda Leo, Vialli Kasema Italy they eat pressure for breakfast ila england can't handle pressure ila Leo Azzuri analiwa japo hata Mie 94 nilikuwa mshabiki wa Italy sababu ya Baggio ila Leo Italy kashinda draw.
Team Italy tujuane mapema.....
Mbona mimi sina mzuka na timu za Taifa za wazungu? Yani mechi ya England & Italy hata sina kimuhemuhe nayo, akiliyangu ipo Alfajriiiii nimuone Dr Ture akifanya vitu vyake.
Team Italy tujuane mapema.....
moja atachoka, apige magoli matatu kisha na lager kiasi atakuwa active mpaka asubuhi...kula fresh alafu pata goli moja
Hii hii inatosha mkuu...Tupo mkuu..! Au tuanzishe thread yetu nini?
I have a soft spot when it comes to #TeamEngland , I hope they will be able to take 3 points from Italy.
England hakuna kitu pale labda wacheze na Taifa stars ndo wataambulia hata droo.
Utakuwa mbaguzi wa rangi wewe.Mbona mimi sina mzuka na timu za Taifa za wazungu? Yani mechi ya England & Italy hata sina kimuhemuhe nayo, akiliyangu ipo Alfajriiiii nimuone Dr Ture akifanya vitu vyake.
Kabisa England anashinda Leo, Vialli Kasema Italy they eat pressure for breakfast ila england can't handle pressure ila Leo Azzuri analiwa japo hata Mie 94 nilikuwa mshabiki wa Italy sababu ya Baggio ila Leo Italy kashinda draw.
Mbona mimi sina mzuka na timu za Taifa za wazungu? Yani mechi ya England & Italy hata sina kimuhemuhe nayo, akiliyangu ipo Alfajriiiii nimuone Dr Ture akifanya vitu vyake.
ha ha ha ha ha... Mkuu acha kunitisha aiseee.
moja atachoka, apige magoli matatu kisha na lager kiasi atakuwa active mpaka asubuhi...
Tangu enzi za penalty ya Baggio kule marekani mkuu!
Sawa mkuu mimi si mpenzi wa italia ila england naichukia zaidi kuliko hata italy
Tulipoteza kwa goli moja, lakini refa katunyima penalty yetu. Ila bado ninaimani na watu weusi wenzangu. Vp mwenzangu, kati ya mabeberu yaliyo twangana jana lipi lilikua beberu lako?Vipi!! Eti jana Cameroon walishinda ngapi vile..??