Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Heaven on Earth leo umehamia Brazil tena?
anasumbua kichizi, umemwona mshkaji wako hulk akili kisoda, nguvu kontena
He will never miss
akili kisoda nguvu kontena Lil
watu mna maneno.......
Kwa nini tusiongeze dau liwe kilo kabisa.....
My Brasil wakishinda wewe unanipa kilo na Wajerumani wako wakishinda basi nakupa kilo yako.....
Deal?
asinikimbie last time somebody disappeared with my money
Mwenzenu tangu algeria watolewe nimepeteza hamu ya kuangalia mpira basi tu
bwa nchunchu niachie boss man ni bet nae......
nahisi hajajua anachokiongea
bwa nchunchu niachie boss man ni bet nae......
nahisi hajajua anachokiongea
deal....
Na atagawa bure kwa wale watakaowahi.Eti nasikia Shakira amedai kuwa atatembea uchi dk kumi katikati ya Bogota kama Colombia ikiifunga Brazil!
bado una machungu ya Algeria.
una machungu kuliko coach wao