World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Too sad kwa kutokumuona Neymar tena ila ndo wakati mzuri wa Bernard kufanya yake

Neymar over rated!Goli 2 zile alizowapiga Cameroon zilikuwa rahisi mno!!Sasa kama beki ni Nkolou na Ekoto si hata ww utafunga tu jamani?Goli la 3 ni penati ya ajabu!Hakika alitakiwa awe na bao moja kwenye WC hii, lile la kusawazisha na Croatia!

Neymar wo'nt be missed at all!
 
Argentina wataweza kuvuka mbele ya Uholanzi ya akina RVP na Roben??

Nahisi kama tutakuwa na mtanange wa Brazil na Uholanzi!

hivyo hivyo wanaweza kupita si unajua tena mpira unadunda na ni dakika 90?
 

Ni kweli over rated sababu wanaamini ndo mkombozi wao that's why he play under pressure
I like the guy even if sometime his selfish ila huwa ana impact akiwemo uwanjani ndo maana hata faulo aliyochezewe leo ilikuwa ya kisasi na ya kitoto zaidi
He is better at all
 
Sasa akifungwa Agentina tulia wote nani atambeleza mwenzake?

Acha tu my dear,tutafarijiana hivyohivyo!!! ila mie sijui utanibeba na mbeleko gani? pole sana jana uliteseka sana wangu nilikuwa kny usukani,ila naona TATIANA na HOE walijaribu kujaziajazia.
 
Last edited by a moderator:
Acha tu my dear,tutafarijiana hivyohivyo!!! ila mie sijui utanibeba na mbeleko gani? pole sana jana uliteseka sana wangu nilikuwa kny usukani,ila naona TATIANA na HOE walijaribu kujaziajazia.


Walijaribu lakin, mwenyenacho ni mwenyenacho tu pengo lilikuwepo.

leo sijaenda kukazi, natarajia kupaki mapema iwezekanavyo baada ya mishe mbili tatu.
 
Walijaribu lakin, mwenyenacho ni mwenyenacho tu pengo lilikuwepo.

leo sijaenda kukazi, natarajia kupaki mapema iwezekanavyo baada ya mishe mbili tatu.

embu nipe ratiba nami nipange mambo yangu maana hapa nimeshavurugwa hata nimesahau zinaanza timu gani?
 

Ila faulo alizochezewa Rodriguez hazikua za kitoto? Brazil na refa wao waliyataka haya wenyeweee, Rodriguez kila akishika mpira hasa kipindi cha kwanza anakutana na daruga za Fernandinho na Silva ila kirefa kama hakioni vile na Rodriguez ndio mchezaji bora wa mashindano haya mpaka match ya jana lakini hakupata protection ya aina yeyote kutoka kwa refa
Huyo mtoto mlaini kaguswa kidogo na WC imeisha. Mnachokoza ugomvi na hamjui kukwepa wala kurusha makonde?! Sasa jiandaeni na kiboko cha mkoloni, hakuna Silva, hakuna Naima
 
Scolari the worse coach kabisa ever!! Anaacha wachezaji wazuri anachukua fred na hulk


The king.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…