World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Teama Belgium kunyweni maji mengi,kipindi hiki mtakimbizwa mara mbili...!
 
Hahahaahahaaaa nacheka hapa mnavyomkataza my kaka Katavi, asitaje timu anayoshabikia.
Sasa hivi nashabikia timu yangu tu Brazil basi, hawa wote waliobaki ni wapinzani wetu.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Hazard kacheza rafu mbaya hapa na anazawadiwa kadi ya njano
 
Kuna jamaa hapa wanavyolikosea jina la Felaini karibu watatukana tu,mara filauni mara fellaneni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…