kiwango cha soka duniani kimeshuka, huyu messi angekuwepo WC za kati ya 86 na 98 angekuwa average player sio star.
Team kama Belgium
kiwango cha soka duniani kimeshuka, huyu messi angekuwepo WC za kati ya 86 na 98 angekuwa average player sio star.
Boredom!I didn't enjoy it as I expected!Let me start to drink now
Ana midadi kama cha kwanza
86 star alikuwa babau yake Messi "Diego" angalia vimo vyao....sawa,viwango.....sawa,kasi......sawa!messi angewika WC 86!
Hicho king'amuzi chako hakina TBC?
cha kwanza kinini........lol