Mkuu umewauwa teyari holland kapita.
Narudia tena kiapo changu dk ya 90 Argentina wasiposhinda nameza mundu cc Bulldog Heaven on Earth Skype etc
#teamCostaRica baadae aisee.
messi anakiwango sawa na maradona?
messi anakasi sawa na maradona?
are you serious?
Argentina vs Netherlands itakuwa kivumbi
Messi ni zaidi ya Maradon and this is a fact!
Just go and peruse rekodi zao!Akichukua kombe hili Messi atavunja rekodi zote
wangu mimi hujifungia kwenye kale kachumba, hii world cup isijetuachia majonzi bureeeeee....Lo!
Nini tena?
alifanyaje Di Maria nimechelewa leo
Ha! Pole hata JKINA hujatia maguu? Natamani nijitolee nikutembeze jaman!! Hapo vingunguti ndo mahakama ya mbuzi ilipo.
Mkuu kumuweka Origi bango moja na MESSIAH ni matusi makubwa kwa sisi wapenda soka