Namuonea huruma leo baada ya kufungwa watambebesha lawama zote yeye
mnafungwa 2 bila.England tunaenda kuua mtu fyuuuuuuuu!!!
USA Jumatatu anamchapa Ghana!Siziamini kabisa team zetu za Afrika maana sisi tuna amini sana manguvu kuliko kutumia akili!
Leo atawaonyesha wabaguzi wa Italy na jamii yote ya kiitaliano duniani kuwa yeye ndo Striker aliyebaki wa kutegemewa na Azzuri. Waache ubaguzi wakubali kuwa dunia imebadilika waangalie jinsi France, Holland, Belgium, England, Portugal, Germany, Spain walivyofaidika na wachezaji weusi.
Hivi saa nne ni nani anacheza kati ya costarica na uruguay au Italy na na England? au England na Italy ndo itakuwa hiyo saa saba za usiku? maana sielew elewi hapa
Kama una chuki na wataliano ni haki yako lakini acha kubwebweja porojo zako hapa, Balloteli ni mzungu?
Haya maneno yako mwenyewe yanaonesha wewe pia ni mbaguzi, kwa maneno ya Nyerere, "Kaburu mweusi"
Wapi nitapata ratiba za mechi kwa kutumia muwa wa East Africa? I mean GMT+3
Wapi nitapata ratiba za mechi kwa kutumia muwa wa East Africa? I mean GMT+3