rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Namuonea huruma leo baada ya kufungwa watambebesha lawama zote yeye
Leo atawaonyesha wabaguzi wa Italy na jamii yote ya kiitaliano duniani kuwa yeye ndo Striker aliyebaki wa kutegemewa na Azzuri. Waache ubaguzi wakubali kuwa dunia imebadilika waangalie jinsi France, Holland, Belgium, England, Portugal, Germany, Spain walivyofaidika na wachezaji weusi.