Fred na Jo ni kama Heskey na Wellbeck
TEAMgermany oyeeee
i am....!team german mpo?am da first who z next?
Team Brazil haya kunyweni maji meeeengi mtamwaga jasho sana leo.....weka karibui tembe za hedex nawatabiria maumivu ya kichwa.....mmeshakula?msije mkalala na njaa zenu...Bantu lady,BAK,BULL,Victoire,Mourinho,rubba,Mkuu katavi....muwe na game njema,michezo furaha!
Wadau wa jukwaa hili mpo?
kama manyua wanavyoshabikia holand kisa kochaKitale cha leo kitakuwa kigumu chijui nani atatoka kidedea .... .... ... .... .. I like both teams ingawa mafioso(Chelsick)[/kCOLOR] wamejaa Brazil .... ....