Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
Tayari deli la kahawa na visheti ,nikishuhudia namda gani Burazili wanavyogalagazwa ,hali ya hewa inasema mabao ni manne kwa German na pengine mawili kwa upande wa pili.
Tunaonana katika dakika za mwisho ,niwacheni ! Yaani leo kitanuka ,burazili nje ya fainali,washukulu wamefika hapa ,yaani leo wanatolewa sadaka !
Tunaonana katika dakika za mwisho ,niwacheni ! Yaani leo kitanuka ,burazili nje ya fainali,washukulu wamefika hapa ,yaani leo wanatolewa sadaka !