mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,322
- 1,110
Ni mapito tu but timu iliyojipanga ni Uholanzi mkuu,hao ndo Mabingwa,the rest ni upepo tu.
Basi leo tutakukomaje??? Hongera bana.
nasikia magoli manne ni ya offside, yamekataliwa ila tu ubaoni hawajaondoa. :cool2:Sijui wataficha wapi sura zao. Bora haya magoli yangekataliwa yote
Ni Majanga Mkuu ni Majanga tena si madogo. Saa hizi bila shaka Wanajeshi kibao wameshamwagwa katika miji mbali mbali kule Brazil.
Eeeh Malaika badilika uisaidie Brazil ishinde maana watauana hawa watu baada ya hii mechi
Ni Majanga Mkuu ni Majanga tena si madogo. Saa hizi bila shaka Wanajeshi kibao wameshamwagwa katika miji mbali mbali kule Brazil.
brazili inashinda 7-5 , wait and see:cool2:
Fifa itabidi walete TKO kama ile ya kwenye ndondi,ukipigwa 4-0 tu ktk game za mtoano kama hii mpira unaisha hapohapo maana huku ni kutiana aibu kubwa
brazil tunarudisha haya magoli