palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,459
kumbukeni leo ni sikukuu ya uhuru wa ajentina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Argentina mechi ya ngapi hii wanaenda extra time?
kulala nataka ila kuliacha game naona hasara yani shida tupu.
Kipa wa Holland leo anapiga chenga nzuri sana kwenye goli lake
Na wamalize tukalale nshachokaa na game naitaka loh
@bwa'chuchu arg wakitolewa leo unahamia wapi? Mana weyw kwa kuhama timu hujambo
anajiandaa na matayarisho ya kuruka kichurachura na sufuria ya maji moto kichwani 🙂🙂
ataenda Germany na avatar itabidi abadilishe vile vile
akifanya hivi mara ya 3 atafungwa goli
Di Maria naona umuhimu wake. Ile partenership na Messi inakosekana leo
Argentina huwa wana bahati sana extra time dk 15 za mwisho
Mhhhhhh! ni aje?
Hahahahhaha tumesema sawa.........na kuhadithiwa hainogi basi
Van Gaal amemaliza sub?