rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Naona Argentina wameamua kufungua duka wanakwenda na mastriker 3, watakuwa wameshanusa beki ya Ujerumani ipo ovyo. Na kweli beki ya Ujerumani imepwaya, labda kuifunga Brazil magoli 7 kumetufanya kudhani beki ya ujerumani ni kali Argentina wana mawazo mengine.