Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,183
Anything can happen...ngoja tuone uchezaji wa chile hapo badae. Ningekuwa kocha ningewapangua na kuondoa hyo mizigo hapo uwanjani
Yaani we lala tu chile anampachika mtu vitasa vya maanaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anything can happen...ngoja tuone uchezaji wa chile hapo badae. Ningekuwa kocha ningewapangua na kuondoa hyo mizigo hapo uwanjani
Hahahahahaha daa leo Uholanzi wamewamalizia hasira zote.
Leo ilikuwa zamu ya Spain zile kelele za La liga ni bonge la ligi zimekwisha. Kesho zamu ya wale wachonga vinywa wa kisiwani wanaodai ligi yao ni bora na eti ndo walioanzisha soka.
iniesta na xavi ni
wachezaji wa dk 50 mpira umebadika sana sikuhizi,afu hawa weusi kwenye
hizi team za ulaya mbona wanapiga soccer la hatari lakini weus wa africa
wanatuangusha.?kuna kaburu mmoja hivi anamacho makubwa hvi,yule
alopigwa kichwa na costa, kapiga mpira mkubwa sana leo.
majamaa wameshiba ile mbaya,mpaka wanashindwa kukimbia,hawawezi kuattack,wale na mexico wanaaga kombe,mana wote wawili wapigwa za kutosha na Croatia na brazilHahahaha Voil umeua daa ina maana walifikiri wanaenda kwenye mashindano ya Mieleka?
Daaaa Etooo ana kitambi.
Wale weusi wa Africa wanajua kudai posho tuu kazi hakuna.iniesta na xavi ni wachezaji wa dk 50 mpira umebadika sana sikuhizi,afu hawa weusi kwenye hizi team za ulaya mbona wanapiga soccer la hatari lakini weus wa africa wanatuangusha.?kuna kaburu mmoja hivi anamacho makubwa hvi,yule alopigwa kichwa na costa, kapiga mpira mkubwa sana leo.
Watu nyie maneno hayaishi jamani
iniesta na xavi ni wachezaji wa dk 50 mpira umebadika sana sikuhizi,afu hawa weusi kwenye hizi team za ulaya mbona wanapiga soccer la hatari lakini weus wa africa wanatuangusha.?kuna kaburu mmoja hivi anamacho makubwa hvi,yule alopigwa kichwa na costa, kapiga mpira mkubwa sana leo.
Nakubaliana nawe but Javi Martinez angeweza kuziba pengo la Alonso ni mzuri sana kucheza mbele ya centre back
mkuu achana na black hyo, mm nmemwakia kwnye tv, sijui kama kasikia au vp, jmaa anapga mpira mwingi sana aisee.!
mwaka 2010 spain alipigwa game ya kwanza mwisho kabeba ndoo, kwahiyo teamspain tusikate tamaa hii ni game ya kwanza.mambo ndo kwanza yameanza.
majamaa wameshiba ile mbaya,mpaka wanashindwa kukimbia,hawawezi kuattack,wale na mexico wanaaga kombe,mana wote wawili wapigwa za kutosha na Croatia na brazil
Yaani yule jamaa yanga wasipomsajili ntamshangaa sana manji
tusubiri tuone,hii ni mechi ya kwanza tu.Unakariri eeeh sasa mwaka huu watabeba kinu
Aisee Robben na upara wake wote alikimbia na mpira akachenga kundi la watu pamoja akapiga shuti la maana,dah