sitashangaa kipindi cha 2 Honduras wakachomoa na kupata droo au hata wakashinda kabisa
Hilo halipo sanasana watabananishwa na maamuzi na kutupiwa mengine japo mawili au zaidi. kibendera wa kushoto
kwao na Refa hawako smart, hawa watu wawili wanafanya maamuzi yakimkakati zaidi.