World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hivi kwa nini hawa Wamarekani kusini wakivaa kama waganga wa kienyeji hatusikii wakichekwa kama vile waafrika? hapa naangalia waganga wa kienyeji wa Kimexico jamaa wameshika mikia ya Ngedere na kila kitu.
 
ha ha ha kumbe mimi niliwapandisha kidogo...so average!!!

Sanaaaa, Brazil ya mwisho kucheza "the Brazilian way" ilikua mwaka 1994, walitufunga kwa penati lakini sikuumia sana kwa sababu ya Romario, alikua ile kitu unaita SI UNIT Mkuu
 
Leo Oscar amekuwa mtu wa butua?

Mimi sidhani kama setup ya timu ilikuwa ovyo (ukitoa kosa la kumchezesha Ramires)....Mexico wamekaba vizuri sana na kipa wao amewaokoa sana...


Setup haikua pouwa! Achilia mbali Ramires, Paulinho kafanya nini leo? Oscar? Gustavo? Woote wamekua mizigo Leo! Mpk Nahoza wao analalamika!
 
Brasil hii hii...nakwambia Italia atakalishwa..ni Uholanzi tu ndiyo nawaogopa...

Anyway, tuombe uzima ili tuweze kushuhudia mpaka mwisho...

Uholanzi hajawahi kutamba kwa Buluda, alimuotea mspaniola mchovu basi kawatisha sana wengine, lakini sio Buluda.

Hiyo uholanzi size yake ni Belgium, sio Buluda
 
Cameroon auihesabii kabisa?

Dah inategemea unataka niwajumuishie kwenye kundi lipi

Kuna kundi la timu zitakazovuka to second round na zingine zitatolewa na zingine zinaweza kumaliza bila ya point
 
Kuna wafata upepo wengi sana.Wanachokiongea kabla,wakati na baada ya mechi ni tofauti kabisa!

Halafu haohao eti utakuta wanapondea wachambuzi wa TBC kwa kufanya kama wanavyofanya wao.
 
na wewe bana!!! sasa willian na oscar si kitu kimoja! ukiongeza ramirez na luiz ni kizungumkuti!!! world cup unacheza na watu wenye akili sio premier hii....ukimtoa neymar hao akina oscar,willian,ramirez,jo,hulk,fred wote ni average kama sio below average players.


Ata km ni kitu kimoja Lkn kulikua na haja ya kupata wachezaji tofautu wenye uwezo Wa kuendesha km Neymar Au Hulk Au Willian Lkn sio kujaza wachezaji km Paulinho Oscar Ramires na Gustavo!


Alafu ktk kiungo mkabaji alitakiwa awepo mtu mwepesi km Fenandinho! Gustavo mzito mpk alikua anasumbua beki zake!
 
ni uzalendo kushabikia timu za afrika ila ni hatari kwa afya yako
 
Kama Mexico wangefungwa leo, watu wengi wangepoteza maisha yao Mexico City na kwingineko. Ma-Cartel leo walichukuwa day off kushangilia timu yao.
 
miss chagga yuko wapi leo?kile kichwa cha Neymar ni goli kabisa,eti refa kalikataa kisa golikipa kadaka!amemuonea wivu kwa vile kaweka blonde kichwani.
 
Last edited by a moderator:
Brazil ina Neymar na marcelo tu walio consistent.wengine wana siku zao.hii Brazil si nzuri sana.
 
Brasil hii hii...nakwambia Italia atakalishwa..ni Uholanzi tu ndiyo nawaogopa...

Anyway, tuombe uzima ili tuweze kushuhudia mpaka mwisho...

Mkuu Inzi mbona unatufurahisha hivi? Hivi vitoto vya akina Jo,Hulk wawasumbue Italy...Timu inategemea skills za mtu mmoja,hakuna flowing tuliyoizoea ya Kibrazil..
Naona Brazil watatoka mapema tu michuano.
 
Back
Top Bottom