World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mkenya kafunga goal,hongera sana Origi,chezea jaluo,Obama,Nyong'o, Origi
 
10313972_911143565568158_4595543868004951455_n.jpg



10461470_911143402234841_8710541604539446526_n.jpg


10488051_911143428901505_1797331653568887677_n.jpg



10426747_911143378901510_4168694181358198498_n.jpg



10442923_911143398901508_1949289068042253331_n.jpg



10442365_911143415568173_7952443639802118674_n.jpg



10418339_911143412234840_9125320060578138163_n.jpg



10447512_911143372234844_3469291389114958554_n.jpg



10478141_911019798913868_6553718813307306349_n.jpg



10313152_911019778913870_692970868372594710_n.jpg



10451058_911019765580538_3503758070226838536_n.jpg



10463971_911019768913871_352457205751969249_n.jpg
 
Kama nigeria akifungwa 1-0 na Argentina na iran akishinda 1-0 dhidi ya Bosnia nani atapita ktk round ya 16 bora? Coz watalingana kila kitu. Je, itapigwa special game?
 
Kukumbushana tu, Mara ya mwisho South Korea kucheza na Algeria ilikuwa ni mwaka 1985 na ilikuwa ni mechi ya kirafiki ambapo South Korea walishinda kwa bao 2-0. Mechi hii ilifanyika katika mji wa Nezahualcoyoti.
 
Kukumbushana tu, Mara ya mwisho South Korea kucheza na Algeria ilikuwa ni mwaka 1985 na ilikuwa ni mechi ya kirafiki ambapo South Korea walishinda kwa bao 2-0. Mechi hii ilifanyika katika mji wa Nezahualcoyoti.

Leo matokeo yatakuwa kinyume na hayo!
 
Back
Top Bottom