World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

An ad in Germany before the game! ImageUploadedByJamiiForums1403623588.587299.jpg
 
Kumtazama Dr. Leaky Akichambua Mpira, Ni Darasa Tosha, Maana Unajifunza Vingi Zaidi Ya Mpira.
 
kama hutaki kuwa challenged ur in th wrong place. huwezi kusema kitu utegemee NDIO MZEE....Argentina messi ana aguero,higuain,di maria,lavezzi,etc Portugal ni one-man team hata LOIUS NANI anapata namba!

You r mistaken! Siyo kuwa sipendi kuwa challenged mkuu...argument yangu ni kuwa Messi kasaidiwaje particularly ktk hii WC 2014?

Goli zake zote ni juhudi zake binafsi...au tunaangalia michuano tofauti? CR7 cku ile anapata chance anapaisha pembeni utafikiri mchezaji wa Abajalo!

Kwa kombe hili CR7 kafulia labda tuone mechi hii ya mwisho.
 
You r mistaken! Siyo kuwa sipendi kuwa challenged mkuu...argument yangu ni kuwa Messi kasaidiwaje particularly ktk hii WC 2014?

Goli zake zote ni juhudi zake binafsi...au tunaangalia michuano tofauti? CR7 cku ile anapata chance anapaisha pembeni utafikiri mchezaji wa Abajalo!

Kwa kombe hili CR7 kafulia labda tuone mechi hii ya mwisho.

aibu yake mwenyewe
 
Huyu Sospeter Muhongo na Tanesco yake wana maana mbaya Sana. Mechi inaanza tu wamekata umeme. Tutanyanyasika hadi lini kwenye nchi yetu wenyewe jamani. Dah inauma Sana, itabidi niangalie mpira kupitia JF...
 
Back
Top Bottom