Escardo-bird
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 622
- 224
Jamn ivory coast wanapata nafasi nyingi wanachezeya hivi hizi timu za Africa ndo kusema stimu zinapanda wanapofungwa goli kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa
Magoli mengi ya Ivory Coast katika Kombe la Dunia yamefungwa baada ya dakika 60. Hivyo tusubili tu... #TeamAfrica
mimi nitahamia greece sasa hivi!!
Umemuona zombi wenu suarez ??
Na wewe utakua unaitwa
Samaras
Kiriagos
Kalagonas