Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio timu zikubaliane,ni fifa ndio imempa refarii mamlaka hayo anapoona joto limezidi anammlaka ya kusimamisha mpira ndani ya dk 15 za kipindi cha kwanza au cha pili na ni dk 3,hata ikibidi ndani ya mechi moja wakapewa muda wa kupumzika na kunywa maji mala 2.
Facts: Wasichana wa mexico ndio wasichana warembo zaidi katika michuano hii ya kombe la dunia.....
tupo tupo tunakufa na tai zetu shingoni
Joto hilo linawasumbua wao tu?
Mfa maji haish kutapatapa.
Hivi Ngasa alishawahi kwenda Russia?Ushasikia lini cooling break mkuu??,joto limeshusha spirit..uliza y ngassa alikimbia russia,au chezea switzerland.
Goooli........duh, offside huyu OKOA .