World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mpaka sasa timu zote zilizoongoza makundi ndio zimeingia Robo Fainali.
 
Ingekuwa siyo haki kama hiyo timu mbovu ya Greece isingeondolewa
 
Afadhali Wagiriki wametolewa, walitegemea watabebwa kama vs Ivory Coast...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Halali yao Costa Rica kupita, Greece wamepewa nafasi wameshindwa kuitumia
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jinsi timu nyingi za Ulaya zilivyochemsha muda si mrefu wazungu wataanza kudai Kombe la Dunia is not fun anymore. Mwaka huu ni wa #TeamUnderdogs , wazungu warudi kwao. Noma itakuwa pale timu ya Central America plus USA itakapobeba Kombe la Dunia kabla ya nchi yoyote ya Afrika.
 
Hongereni sana #TeamCostaRica shughuli ilikuwa pevu, pamoja na kubaki 10 mlisimama kidete na hatimaye kufanikiwa kusonga mbele.
 
10509708_924664907549357_8212646142056065329_n.jpg

Costa Rica players celebrate their shootout success.

10407586_924664844216030_3559024507383944746_n.jpg

But Keylor Navas gets across to save brilliantly from Gekas.

10483085_924664730882708_1505457837779920307_n.jpg

Costa Rica and Greece line up for the national anthems.

10409297_924664744216040_4332016024149845438_n.jpg

Bryan Ruiz celebrates scoring the opening goal for Costa Rica.

1797554_924664747549373_5982694944191220147_n.jpg

Theofanis Gekas attempts to score from the penalty spot.

10441948_924664754216039_3866144745316136490_n.jpg

Greece players celebrate their equalising goal

10361377_924664764216038_7238046515522523723_n.jpg

Greece players react to going out of the FIFA World Cup.


10404902_924664757549372_1838227951821007147_n.jpg

Fans in Recife perform a Mexican wave during Costa Rica-Greece.

10415580_924662467549601_1450683762341778643_n.jpg

Cristian Gamboa of Costa Rica and Jose Cholevas of Greece compete for the ball.

10505599_924662440882937_1910466476700418273_n.jpg

Costa Rica and Greece line up for the national anthems.

10481598_924662370882944_7691322120586312445_n.jpg

Bryan Ruiz's shot rolls past Greece goalkeeper Orestis Karnezis into the net for the opening goal.

10511079_924662434216271_8718326950801227067_n.jpg

Sokratis Papastathopoulos celebrates with Greece teammates Lazaros Christodoulopoulos, Giorgos Karagounis and Giorgos Samaras.
 
kaka Malafyale unaonaje chance ya Nigeria Vs France kesho? najua unawafagilia Algeria vipi kuhusu hawa wezi wa online nadhani wana nafasi gani ya kuaibisha kigogo kingine cha ulaya au?
 
kwA wachezaji walotoka ntammis sana huyu kipa!!! alikuwa na fantastics saves sitomsahau!!
 
kaka Malafyale unaonaje chance ya Nigeria Vs France kesho? najua unawafagilia Algeria vipi kuhusu hawa wezi wa online nadhani wana nafasi gani ya kuaibisha kigogo kingine cha ulaya au?

Nigeria ndiyo watatia aibu mashindano haya kwa kuwa team pekee kufungwa kama watoto!
Jana na juzi hawa Nigeria hawajafanya mazoezi!!Wamegoma
 
Ni kweli kabisa kipa hadari sana,utakuwa unamuona akidakia Barcelona kwani wanakamilisha tu mipango ya kumchukua.
 
Back
Top Bottom