World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Tumepigwa lakini haina shida, tff yao ilikula hela zao, wangeweza kupambana zaidi ila morari imeshuka
 
Mpaka hapa ile kawaida yetu inajieleza

Isipokuwa refa kawafanya ufaransa waendelee kuwa 11 badala ya 10 baada ya kuvunja mguu nayee akishuhudia.
 
Pogba kawafunga waafrica wenzake,kijana kutoka Guinee,anang'aaa Ulaya,goal la kiakili kabisa,safi sana Pogba umeonyesha intelligence yako
 
Back
Top Bottom