World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kama Germany wangekuwa wanaruhusiwa kuchagua team ya kucheza nayo round ya 16 WANGEICHAGUA hata Brazil lkn sio Algeria

Ha Ha Ha dah Mkubwa kweli wewe ni #TeamAljeria

Dah naona mmewakosa kosa hapo, jamaa angetoa pasi ingekuwa aibu

Dah na goli limekataliwa

Swali la kizushi umewekeza nini pande zile za Algiers?
 
Dah!zile akili za kiafrica za akina Jordan Ayew naanza kuziona tena hapa,huyu jamaa yuko impossible angle,mbele yake yuko mwenzie anaomba pasi golini,yeye anaamua kubutua ili afunge mahala pasipowezekana kufunga
 
Dah!zile akili za kiafrica za akina Jordan Ayew naanza kuziona tena hapa,huyu jamaa yuko impossible angle,mbele yake yuko mwenzie anaomba pasi golini,yeye anaamua kubutua ili afunge mahala pasipowezekana kufunga

mara mbili zote huu ubinafsi wao wataujutia baadae
 
Back
Top Bottom