World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hawa walima na wauza sembe wanataka kupaniki mapema hivi!!!
 
Mourinho wapi ulipo sheikh?
Mie nipo kidali wazi naimba Zapata Zapata Zapata...
 
Brazil wana wenge sana wanatakiwa wawe waangalifu Columbia bado hawajasoma mchezo wakitulia wanaweza kusumbua sana Brazil.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom