bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Ndio ni hiyo jana tumeshuhudia upangaji wa makundi kwa nchi zinazoshiriki Kombe la Dunia hapo badaye mwezi wa November 022 kule Qatar.
Japo kuna baadhi ya mechi bado hazijachezwa, je kwa maono yako nani anaenda kuibuka kidedea na kulichukua kombe kutoka mikononi wa weusi wenzetu Ufaransa Je Ufaransa atalitetea tena?
I my self nategemea upinzani kutoka kwa timu zote mpaka kwa sasa ukiniuliza nani anaenda kubeba hilo Kombe la Kidunia sina majibu kombe la dunia ni zaidi ya kula na wachezaji wenye majina makubwa na sio ajabu mwaka huu ukawa mwaka wa miujiza timu wababe wote wakatolewa mapema au kuishia robo fainali.
Brazil chini ya Tite bado timu haijakaa vizuri wakikutana na timu Ulaya watapata shida timu haichezi kama timu bali wanategemea mchezo mmoja mmoja lile Samba lao limepotea siku hizi wameiga Mpira kwa Amerika ya Kusini kabisa nguvu nyingi akili kidogo wakikutana na timu kama Denmark wanaoutumia akili nyingi wanacheza soka la kitabuni usishangae ukawa mwisho wao kama watakutana robo fainali au Nusu fainali.
Timu za Kiafrika at least Senegal wanaweza kutoa upinzani wa kweli, Cameroon wapo na talented players ila bado naona shida ipo kwenye benchi lao la ufundi hakuna kocha mzoefu pale hawa wengine waliobaki wapige matizi sana.
Je wewe kwa upande wako unatwambia tutegemea nchi gani kuwa bingwa wa kombe la dunia 2022?
Japo kuna baadhi ya mechi bado hazijachezwa, je kwa maono yako nani anaenda kuibuka kidedea na kulichukua kombe kutoka mikononi wa weusi wenzetu Ufaransa Je Ufaransa atalitetea tena?
I my self nategemea upinzani kutoka kwa timu zote mpaka kwa sasa ukiniuliza nani anaenda kubeba hilo Kombe la Kidunia sina majibu kombe la dunia ni zaidi ya kula na wachezaji wenye majina makubwa na sio ajabu mwaka huu ukawa mwaka wa miujiza timu wababe wote wakatolewa mapema au kuishia robo fainali.
Brazil chini ya Tite bado timu haijakaa vizuri wakikutana na timu Ulaya watapata shida timu haichezi kama timu bali wanategemea mchezo mmoja mmoja lile Samba lao limepotea siku hizi wameiga Mpira kwa Amerika ya Kusini kabisa nguvu nyingi akili kidogo wakikutana na timu kama Denmark wanaoutumia akili nyingi wanacheza soka la kitabuni usishangae ukawa mwisho wao kama watakutana robo fainali au Nusu fainali.
Timu za Kiafrika at least Senegal wanaweza kutoa upinzani wa kweli, Cameroon wapo na talented players ila bado naona shida ipo kwenye benchi lao la ufundi hakuna kocha mzoefu pale hawa wengine waliobaki wapige matizi sana.
Je wewe kwa upande wako unatwambia tutegemea nchi gani kuwa bingwa wa kombe la dunia 2022?