Portugal.Wareno wakati walipokuwa na bahati hawakuwa bora wakachukua kombe la euro 2016.wakati walipokuwa bora hawakuwa na bahati wakatolewa na Belgium euro 2020 katika mechi ambayo walitengeneza nafasi nyingi sana.
Naamini kwa ubora wa wachezaji waliokuwa nao na ile shauku ya mchezaji kiongozi kwenye timu kumaliza vizuri Majukumu ya timu ya Taifa basi watafanya vizuri zaidi.
Brazil wakiacha utoto na ubishoo wanaweza fanya ya maana kwenye hili kombe.Africa kuna uwezekano mkubwa Morroco na Senegal wakatuwakilisha vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.