Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ila Mo sala alipokuwa anahojiwa alisema kuwa hatovunja funga yake.
Kwa hio alifunga kama kawaida.
Sasa huyo mkuwait kajuaje kuwa jamaa hajafunga?
Asante mkuu, tusiache kuombeana.You are a good Chosen generation
Acha wivu mkuu. Kwamba Salah anasifiwa na waislam tuu? Mashabiki wa Liverpool na wapenda soka wote ni waislam? Hii akili uliyotumia kuandika comment kama hii ni uharo mtupu.Nimeanza kuhisi huyu mo sala upande wa waislam wanamsifia kidin zaidi kuliko kimichezo coz ukichunguza utaona kila muislam anavyomjadili utashangaa ni kidin zaidi kuna watu mfano madem walikuwaga hawaujui mpira eti now wanajiita livapu team salaa na ukiwachunguza ni waislam najiuliza hivi akipotea nao mpira wataususaa??!
Salah ni lazima tumchukulie kama mchezaji wa mpira wa miguu na sio kumchukulia kama mchezaji wa kiislamu wa mpira miguu!
Ni mpumbavu kabisahuyu mungu ambaye anatoa adhabu kwa kula ni kilaza.
Huo ni mtazamo wako wa kijinga na nobody hate him sababu ya dini na anayefanya hvyo ni mbumbumbu na kwa mwanamichezo yeyote mwenye utimamu awezi weka udini katika michezo..Nimefuatilia post humu yani Udini udini tu..salah anachukiwa sababu ni mwarabu/muislamu.
Shutuma za kibinadamu kwann? Zimekazania kwenye nguzo hii zaidi ya zingine.?Kati ya hizo, 2 alitakiwa azitekeleze kwa muda huo/siku hiyo.
Moja ameshaitekeleza, zilizobaki utekelezaji wake haukuhitajika siku hiyo.
Huwezi kujua yaliyomo mioyoni mwa watuShutuma za kibinadamu kwann?
Kwa sababu hii inatakiwa itekeleze kwa sasa, japo na swala nayo inatakiwa itekelezwe lakini haijakazaniwa kama hii.Zimekazania kwenye nguzo hii zaidi ya zingine.?
Upuuzi mwingine wa Dini,yaani huyo shekh anataka kutuaminisha kwamba mwiislam pekee ambaye alikuwa hafungi ni huyo Mchezaji mpira,?View attachment 790366
Muslim preacher in Kuwait has said that Egyptian soccer star Mohammed Salah’s injury in the Champions League final on Saturday was a divine punishment.
Posting on social media, Mubarak al-Bathali said that Salah, who plays for the United Kingdom's Liverpool Football Club, was injured as a punishment from God for breaking his Ramadan fast early. Although Al-Bathali said Salah is religiously permitted to break his fast due to travel, doing so for the game was a sin.
At the same time, the preacher praised Salah for being an ambassador for Islam in the West, saying he hopes he will learn from God's lesson, Al Arabiya reported.
"The player Mohammed Salah decided to play for Liverpool, as he said so, God punished him ... No thoughtful man thinks, especially not a Muslim, that life is managed by reason and effort, but life in the hand of God comes to whom he wants, whether he strives hard or not... May God guide you, Muhammad Salah, and perhaps it is good for you in all aspects of life..."
The star athlete was injured just 31 minutes into the championship game. In a collision with rival Spanish player Sergio Ramos, from opposing Real Madrid, Salah dislocated his shoulder sidelining him for the remainder of the game.
On social media, many fans seemed to disagree with the preacher's judgment.
Hahahaha mkuu wahenga walitwambia ukisemwa semwa basi utajing'ata ulimi,Huko aliko atakua anatoa chafya sana, sio kwa kutajwa-tajwa tena!
Hahahaha mkuu wahenga walitwambia ukisemwa semwa basi utajing'ata ulimi,
Bila shaka ulimi wa Salah now ushafanana na neti kwa kujiuma uma.!
hivi umeielewa hiyo message au unalopoka tuu kweli vilaza hawaishi kila leoAcha wivu mkuu. Kwamba Salah anasifiwa na waislam tuu? Mashabiki wa Liverpool na wapenda soka wote ni waislam? Hii akili uliyotumia kuandika comment kama hii ni uharo mtupu.
Chuki binafsi za kimanchester united hizo zimekujaa. Mo Salah tunampenda hata sisi wapagani. Acha wivu wa kike
Ni kweli, ule ni mpira ila watu wamechukulia kidini zaidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wabillahi tawfiqhuyu mungu ambaye anatoa adhabu kwa kula ni kilaza.